header image

Naenda wapi kupata msaada?

Mashirika ya Mitaa - Kenya

where help

Mashirika ya Mitaa

Ushirikiano wa watu mwenye ufahamu tofauti na jinsia zao wa Kenya

Ushirikiano wa watu mwenye ufahamu tofauti na jinsia zao wa Kenya, ni muhimili na chombo cha kitaifa kinachowakilisha sauti za watu mwenye ufahamu tofauti na jinsia zao Kenya nzima.

Jinsi ya kuwasiliana:
Unaweza kuwasiliana na watu mwenye ufahamu tofauti na jinsia zao wa Kenya kwenye +254 20 2426060

Ishtar MSM

Shirika la kijamii ambalo linaendeleza haki za afya za ngono za Wanaume wanaoshirikiana na Wanawake ili kupunguza unyanyapaa na ubaguzi kwa kujenga uelewa kwa lengo la kutetea haki zao za kupata huduma za afya, ikiwa ni pamoja na huduma za kuhusiana na magonjwa ya zinaa / VVU na UKIMWI na matibabu.

Jinsi ya Kuwasiliana:
Unaweza kuwasiliana na Wanaume wanojamiiana na wanaume kwenye +254 20 2497228 au +254 713 797 157

Kuweka matumaini hai kwa Jamii

Huwawezesha wafanyakazi wa ngono na wanaume wanaojamiiana na wanaume wengine  kiuchumi ili kukuza jamii yenye afya na kutetea haki zao za kibinadamu.

Jinsi ya kuwasiliana nao:
Wasiliana na KASH kwenye Facebook katika Kuweka Jamii Zenye Matumaini  kwenye Twitter - @kashkenya; au @KASH_updates.

Unaweza kuwapigia KASH simu kwenye + 254-57-2025939 / 0721-445452