header image

Naenda wapi kupata msaada?

Mashirika ya Mitaa - Tanzania

where help

Mashirika ya Mitaa

Sauti ya mtu mwenye ufahamu tofauti na jinsia yake Tanzania

Shirikisho la Taifa la mtu mwenye ufahamu tofauti na jinsia yake linalofanya kazi ili kuendeleza usawa, utofauti, elimu, na haki kwa watu mwenye ufahamu tofauti na jinsia zao nchini Tanzania.

Jinsi ya kuwasiliana nao:
Unaweza kuwapigia LGBT Voices Tanzania kwenye: +255 715 334 419

Huduma za Elimu ya Jamii na Utetezi (HEJU)

Haki za Binadamu, Uelewa, Programu za kinga na Uandishi wa Matibabu kwa wanaume wanaojamiiana na wamaume

Jinsi ya Kuwasiliana:
Unaweza kuwasiliana na HEJU kwenye +255 620 520 600 au barua pepe kwenye [email protected]

Wapate CHESA kwenye Instagram na Facebook @ CHESATANZANIA au kwenye Twitter @ Chesa2008